Chama CNDD-FDD hakitaketi na wauaji katika Mazungumzo kwa kuheshimu Azimio la UN, No 2248 la tarehe 12 Novemba 2015. 1. Chama CNDD-FDD kiligunduwa kuwa Jumuiya ya Kimataifa inashinikiza kuzungumza na wahalifu walioshiriki katika vurugu na kutaka kuangusha uongozi uliochaguliwa na wananchi. Chama kinaheshimu na kuzingatia Azimio No 2248 la Baraza la Usalama la Umoja wa…
TANGAZO No 05 /2016 LA CHAMA CNDD-FDD LA TAREHE 10Machi, 2016.
Kwa nini baadhi ya wanasiasa wameanza kukataa kazi za Kamati ya Ukweli na Maridhiano (CVR) ? 1. Vurugu za maandamano zilizoanza tarehe 26 Aprili, 2015 zilikuwa na agenda ya siri ya kutekeleza mpango wa kuiangusha serikali iliyochaguliwa na wananchi tangu mwaka 2005. Ni hivyo, kwani ushindi wa CNDD-FDD ulikasirisha baadhi ya wanasiasa ambao walikuwa wamefanya…
TANGAZO No 04 /2016 LA CHAMA CNDD-FDD LA TAREHE 02 Machi, 2016
Siku ya ujio wa wataalamu wa uchunguzi wa Haki za Binadamu Ulimwenguni nchini Burundi, tarehe 29 Februari, 2016 limeonyeshwa shimo Mutakura na mmoja wa wahalifu walimozikwa watu wengi. 1. Chama CNDD-FDD kilisikitishwa kuona shimo lenye mita 12 mlimozikwa watu zaidi ya 30, waliouawa na waliofanya maandamano haramu katika kitongoji cha Mutakura Kata ya Cibitoke, Tarafa…
COMMUNIQUE N° 004/2016 OF THE CNDD-FDD PARTY OF MARCH 2nd, 2016
On the arrival date of the United Nations Human Rights experts to Burundi by February 29th 2016, a terrorist that said to partake in the killings has shown a mass grave at Mutakura district in Bujumbura mayorship. 1. The CNDD-FDD Party has been saddened on large scale to get that nearly 30 persons have been…
TANGAZO N° 003/2016 LA CHAMA CNDD-FDD LA TAREHE 17 FEBRUARI, 2016.
Wanaokalia fikra za mauaji ya halaiki na mashimo walipozikwa watu wengi kwa pamoja, ndio hao wasiokubali Mazungumzo ya Warundi na ile Kamati ya Ukweli na Maridhiano ya Warundi (CVR) 1. Katika mwaka 1959, baada ya kushindwa kuangusha utawala wa wakati ule nchini Rwanda, kuna baadhi ya Wanyarwanda walikimbilia nchini Burundi na kupewa hifadhi ya ukimbizi….
TANGAZO N° 002/2016 LA CHAMA CNDD-FDD LA TAREHE 02 FEBRUARI, 2016.
Mkutano wa 26 wa Marais wa Umoja wa Afrika ulionyesha kuwaelewa Warundi, nao wananchi watayafanyia kazi maazimio . Tangu mwezi Mei 2015, kumekuwepo na mfululizo wa mikutano ya Marais wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Wakuu wa Umoja wa Afrika hata mikutano ya Umoja wa Mataifa (UN) kuhusu masuala ya Burundi. Nchi hii ilifuatiliwa sana ikabainika…
TANGAZO No 001 /2016 LA CHAMA CNDD-FDD LA TAREHE 05 JANUARI 2016
MWANZO WA MCHAKATO WA MAZUNGUMZO YA WARUNDI YALIYOANZA TAREHE 28 DESEMBA, 2015 ENTEBE KATIKA JAMHURI YA UGANDA. Tarehe 28 Desemba, 2015 Entebe nchini Uganda zilifanyika sherehe za uzinduzi rasmi wa mazungumzo ya warundi chini ya mpatanishi Mheshimiwa YOWERI KAGUTA Museveni Rais wa Uganda ; Walioalikwa na kuhudhuria katika uzinduzi huo ni wawakilishi wa serikali ya Burundi na…
TANGAZO No 45/2015 LA CHAMA CNDD-FDD LA TAREHE 23 DESEMBA 2015
Louis Michel na washirika wake wanaunga mkono kubadilishana madaraka kikabila na ndio washauri wa propaganda wa waliokamatwa na vipeperushi mkoani Karusi 21 Desemba 2015 kuwa kabila moja liangamize jingine. Mnamo tarehe 17/12/2015 yalitokea mambo ya kustaajabisha pale ambapo Mbelgji Louis Michel akishirikiana mazungumzo na Marguerite Barankitse katika nyumba za Louvain-La- neuve ambapo watu…
TANGAZO No 44 /2015 LA CHAMA CNDD-FDD LA TAREHE 14 DESEMBA 2015
» Mbelgiji Louis Michel anashauri watu wake kubadilishana madaraka ya utawala wa nchi kwa kuzingatia ukabila kwani anajua kuwa ndiyo kifo cha demokrasi ». Tarehe 23 Novemba, 2015, Mwenyekiti wa shirika binafsi la kupambana na rushwa hapa Burundi (OLUCOME) Ndugu RUFYIRI Gabriel, alimuandikia Rais wa Uganda Mheshimiwa Yoweli Kaguta Museveni barua N° 049/Olucome/2015. Kichwa cha barua…
BURUNDI : Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Ubelgiji Didier Reynders aliagiza Wabelgiji wote waishio nchini kurudi makwao, lakini Balozi wa Ubelgiji « anakanusha »
TANGAZO N° 43/2015 LA CHAMA CNDD-FDD LA TAREHE 24 NOVEMBA, 2015 Tarehe 13 Novemba 2015, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Ubelgiji, kupitia vyombo vya habari vya RTBF cha Ubelgiji na IWACU ya Burundi aliagiza kwamba Wabelgiji wote waliopo nchini waondoke kwa madai kuwa wanasemwa vibaya na warundi hususan katika tangazo…