Kutokana na shinikizo la Waziri Mkuu wa Ubelgiji Charles Michel mtoto wa Louis Michel, Didie Reynders Waziri wa Ubelgiji wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ameamuru Wabelgiji waliopo nchini kurudi kwao mara moja. Katika tangazo la chama CNDD-FDD la tarehe 3 Oktoba, 2015, chama kilionyesha kuthamini na masikitiko vilivyosababishwa na…
Salamu za rambirambi kwa nchi ya Ufaransa na watu wake.
TANGAZO N° 41/2015 LA CHAMA CNDD-FDD LA TAREHE 16 NOVEMBA, 2015. Baada ya kusikia mashambulizi ya kigaidi katika nchi ya Ufaransa, chama CNDD-FDD kinatoa salamu zake za rambirambi kwa Ufaransa na watu wake. Chama kinasikitishwa na uhalifu na kulaani kwa nguvu zote ugaidi huo usiobagua nchi au sehemu yoyote ya dunia. Ni wakati ambapo nchi…
Chama CNDD-FDD kinashukuru hatua iliochukuliwa na Kamati ya Usalama ya Umoja wa Mataifa (CSNU)
TANGAZO No 40 /2015 LA CHAMA CNDD-FDD LA TAREHE 13 NOVEMBA 2015 Tarehe 12 Novemba 2015, Kamati ya Usalama ya Dunia ilikutana na kuafikiana kwa hatua muhimu N0. 2248 (2015) ya kuisaidia Burundi kumaliza matatizo ya kisiasa na usalama baada ya mikutano mingi na malumbano ambavyo havikuleta mafanikio. Warundi walisubiri kwa shauku kubwa majibu ya suluhu…
Chama CNDD-FDD kinalaani wauaji wenye staili kama Boko Haram, Al-Shebab na Al Qaeda
TANGAZO N° 037/2015 LA CHAMA CNDD-FDD LA TAREHE 14 OKTOBA, 2015 Kumekuwa na wauaji wanaotumia risasi na kuwarushia askari polisi mabomu ya mkono pamoja na kuwaua baadhi ya watu, wakati mwingine wauaji hao hutumia pikipiki. Hao wakiungwa mkono na baadhi ya mataifa wahisani, wanawahi kutoa taarifa wakisema kuwa ni masuala ya ukabila. Mfano tarehe…
TAMKO RASMI LA CHAMA CNDD-FDD LA TAREHE 03 OKTOBA, 2015
Jumuiya ya nchi za Ulaya imechukulia baadhi ya warundi hatua za uchokozi zisizofariji kinyume na sheria Tarehe 01 Oktoba, 2015 Jumuiya ya Umoja wa Ulaya ilikutana Ubelgiji ambapo ilichukuwa hatua zisizo wazi na zisizofaa dhidi ya warundi wanne (4) wa kabila moja la wahutu. Hatua hizo zinawakataza watajwa hao kuingia katika nchi wanachama wa Jumuiya…
TANGAZO N° 036/2015 LA CHAMA CNDD-FDD LA TAREHE 15 Septemba, 2015
WANAOUA WATU HAWAJUI WANACHOKIFANYA, WANA KIU YA DAMU TU Wanasiasa wa upinzani sugu wasiopenda kuutambua uongozi uliopo wamechagua njia isiyofika. Kumekuwepo na mauaji ya kupanga yakilenga baadhi ya viongozi ambao ni maafisa katika mamlaka za ulinzi na walio katika vyama vya upinzani. Mifano ni kuuawa kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa chama UPD – Zigamibanga Zedi Feruzi,…
